TIBA YA DHIDI KUPATA HEDHI ISIYO NA MPANGILIO
Tiba ya kupata hedhi siyo na mpangilio.
Tatizo la wanawake wengi kuwa na hedhi isiyokuwa na
mpangilio limekuwa kwa wengi na hapa kuna wengine inapita miezi hajaingia
katika siku zake au inatoka kwa maumivu makali sana .
Tatizo hili hujulikana kitaalamu kama oligomonorrhea
Mzunguko kwa kawaida
unatakiwa kuchukua siku 21 mpaka 35 na kutoka kwa
damu inachukua siku mbili mpaka siku 7.
Ukiona unaingia katika hedhi chini ya mara 7 kwa mwaka ujue
kuna tatizo.
VISABABISHI
Chanzo cha tatizo hili ni ni wengi hujiuliza je tatizo hili
linasababishwa na nini .
Kuna sababu chache ambazo hupelekea tatizo hili.
Ø
Kuongeza uzito au kupunguza kuliko kawaida
Ø
Hrmone kutokuwa katika mpamgilio
Ø
Matatizo ya inni
Ø
Kisukari
Ø
Kuzaa muda si mrefu au kutoka kwa mimba
Ø
Na matatizo mengine ya kiafya
Sababu nyingine ni za mtindo wa maisha ambao huwa sababu.
Ø
Kunywa pombe
Ø
Kuvuta sigara
Ø
Matumizi ya caffeine
Ø
Msongo wa mawazo
Ø
Vidonge vya uzazi navyo huwa sababu
MATIBABU YAKE.
1.TANGAWIZI
Tangawizi hufanya kazi vizuri katika
kudhibiti hali hii ya hedhi zisizoeleweka na inafanya kazi vizuri, tangawizi
inafanya vizuri hasa kwa hedhi inayochelewa.
MAANDALIZI
1.chemsha tangawizi nusu kijiko katika maji
kikombe kimoja kwa muda wa dakika 5
2. ongeza asali kijiko kimoja.
3. kunywa hii mara tatu kwa siku kila baada
yam lo.
1. MDALASINI
Mdalasini hutumika
kwa uzuri katika kutatua matatizo haya ya hedhi. Na inatumika katika kupunguza
pia maumivu makali wakati wa hedhi, mdalasin una hydroxychalcone ambayo uhusika
katika kusawaza insulin.
MAANDALIZI.
Weka nusu kijiko
cha mdalasini katika glass moja ya maziwa kunywa hii mara moja kwa siku utaona
mabadiliko ndani ya miezi miwili.
Pia unaweza
kuweka mdaliai katika chakula unachikula itakuwa vizuri zaidi.
Alovevera
Shubiri au aloe vera
inafanya kazi vzuri katika kufanya
mzunguko wako uende vzr,
MAANDALIZI
Tafuta maji ya
aloevera kutoka katika alovera changanya na kijiko kimoja cha asali
Kunywa mara moja
kwa siku kila baada ya kupata kifungua kinywa.
Tumia kwa muda
wa miezi mitatu
5. PAPAI BICHI
Unaweza kutumia
papai ambalo halijaiva na likafanya kazi kubwa katika mwili wako.
Kwahiyo kama
hedhi yako haina mpangilio inaweza kutumi a hiina ikafanya vizuri zaidi.
Kunywa . kunywa kwa miezi michache. Epuka kuinywa kama
uko katika siku zako.
KUPATA ELIMU ZAIDI NA KUCHART NA DOCTOR DOWANLOAD APP
HAPO CHINI,
na muda si mrefu itakuwa play store.



Leave a Comment